Programu ya Stashahada ya Elimu ya Kisheria

Usajili wa kundi la pili la stashahada ya Elimu ya
Kisheria umefunguliwa

Wasifu

Programu nzito ya kielimu ya elimu za Sharia kwa muda wa mwaka mmoja, ambapo yanakuwa masomo kwa mfumo wa makundi, ambapo makundi ya kimasomo huwa kwa vipindi maalum katika mwaka na kutangazwa kwa njia mbalimbali za mawasiliano na luninga za chaneli za Afrika TV, na usajili wake hufunguliwa kwa muda wa kutosha kabla ya kuanza. Na programu ya stashahada huwa na mihula miwili ambayo mwanafunzi anasoma masomo sita katika kila muhula, na baada ya mwanafunzi kufaulu mitihani ya mwisho kwa mihula miwili, anapata stashahada ya elimu ya Sharia kutoka Africa Academy.

Utambulisho wa kozi zinazosomwa

kozi hutolewa kwa njia ya

vitabu pdf

Matangazo ya moja kwa moja kwenye YouTube

Mihadhara ya sauti (mp3)

video za mihadhara katika chaneli ya Academy

Mpango wa masomo

Akademi inategemea mfumo wa masomo wa masafa (kupitia mtandao) , ambapo mwanafunzi anachagua njia ya kusomea ambayo inaendana nae zaidi miongoni mwa njia tofauti zinazopatikana

Pakua faili la mwongozo wa mwanafunzi kufahamu mpango kamili wa masomo katika jukwaa

jopo la walimu (wanachama wa kitivo)

Sheikh Ally Nassor

Sheikh Hassan Muhammadayn

Sheikh Muharam Mwaita

Sheikh Salim Qahtwaan

Sheikh Shahid Mohammed

Sheikh Shamsi Elmi

×